mimi emu-three kwa niaba ya :
Hii ni blog maalum kwa kumbukumbu za kimaisha, na matukio yenye mafunzo ndani yake, ndio maana nikaiita 'diary'(shajara). Pia tunakaribisha mijadala yenye kuelimisha
Na kwa kuifanya iweze kuvutia zaidi tunaandika matukio hayo kwa mfumo wa visa, hadithi au tamithilya..
Wewe ukiwa mdau muhimu, unaweza kuchangia na wenzako kwa kutoa hoja (comments). Pia unaweza kutoa maneno ya hekima, utaalamu, au dukuduku lako (kilio chako)kwa jamii ili kuweza kukidhi mahitajio yetu.
MUHIMI, SOMA , CHANGIA, NA TOA kisa chako, au lolote lenye mafunzo ili tuliweke hewani.
TUPO PAMOJA DAIMA
Kwa visa motomoto tunapatikana pia kwenye mitandao ya kijamii ya: Facebook, na Twitter, bofya hapa upate visa zaidi;
https://www.facebook.com/emu.three, na kwa ajili ya kuitangaza hii blog, ingia hapa:
https://www.facebook.com/diaryyangu/
`u-like' na pia unaweza kutwitter hapa;
Wednesday, July 14, 2010
Happy birthday:http://miram3.blogspot.com/
mimi emu-three kwa niaba ya :
7 comments :
Hongera sana kwa kutimiza mwaka na nakutakia kila la kheri na ujue tupo pamoja. UPENDO DAIMA!!
Hongera Mkuu!
Nashukuruni sana wadau na karibuni hapa ni penu, na natumai mtanisaidia pale ninapokwenda kombo, kwani nyie mlishaanza mapema au vipi?
Happy birthday blog*3 happy bith 2you! How old are you now...
Hongera sana na natumai umeiva, kwani mwaka mmoja sio haba
Hongera sana kwa kufikisha mwaka mmoja. Ni hatua kubwa sana kwenye maisha ya mtandaoni.
Mungu akuzidishie nguvu na kukupa muda wa kuendelea Blog yako yenye mambo mengi mazuri.
HONGERA SANA!!!
Oh, naendelea kuwashukuru sana wote mlionipa hongera zenu, na wale walioamua kunipa hongera hizo kwa mdomo(live) lakini raha ya blog ni kupewa kwenye blog. Hata hivyo nashukuruni sana na tuendelee kutoa vitu
Post a Comment