Hii ni blog maalum kwa kumbukumbu za kimaisha, na matukio yenye mafunzo ndani yake, ndio maana nikaiita 'diary'(shajara). Pia tunakaribisha mijadala yenye kuelimisha

Na kwa kuifanya iweze kuvutia zaidi tunaandika matukio hayo kwa mfumo wa visa, hadithi au tamithilya..

Wewe ukiwa mdau muhimu, unaweza kuchangia na wenzako kwa kutoa hoja (comments). Pia unaweza kutoa maneno ya hekima, utaalamu, au dukuduku lako (kilio chako)kwa jamii ili kuweza kukidhi mahitajio yetu.

MUHIMI, SOMA , CHANGIA, NA TOA kisa chako, au lolote lenye mafunzo ili tuliweke hewani.

TUPO PAMOJA DAIMA


Tushirikiane, Tusaidiane, Tupendane, Tuvumiliane, Tusaidiane, Tusameheane.

Kwa visa motomoto tunapatikana pia kwenye mitandao ya kijamii ya: Facebook, na Twitter, bofya hapa upate visa zaidi;

https://www.facebook.com/emu.three, na kwa ajili ya kuitangaza hii blog, ingia hapa:

https://www.facebook.com/diaryyangu/

`u-like' na pia unaweza kutwitter hapa;

https://twitter.com/emuthree



Tuesday, November 12, 2013

Mkuki ni kwa Nguruwe-26




‘Sitaki kumuona huyo mtu...naogopa kuwa ,nitafanya kitu ambacho sitapenda kukifanya, ...okey, tutaona hiyo kesho, ...fanyeni haraka nipate hiyo dhamana...sitweza kuvumilia kubakia hapa ndani tena, ..siwezi kukubali , ikishindikana nitatoka humu kwa nguvu..na wewe kazi hakuna...hii ni ahadi....sijui kama nitaweza kuvumilia tena, si...ooh’nikasema huku natembea kuondoka kuelekea huko jela...na sijui ni kitu gani kilitokea, ila nilisikia kitu kikigonga kichwani, na giza likatanda,.....nikadondoka, na kupoteza fahamu.

NB:Ni nini tena hiki....


WAZO LA LEO: Siku hizi kuna watu wanaishi kwa njia za ulaghai, utapeli, na wizi wa kutumia maandishi na mitandao, ...hili ni changamoto kwetu, wakati huu jamii, zetu zinapojiunga kwenye kijiji kimoja cha utandawazi. Ni muhimu tukawa makini katika kutoa taarifa zetu, majina, anuani, namba za akiba zetu na maneno ya siri kwa watu, kwani huwezi kujua ni lini bahati mbaya itakuangukia. 
Ni mimi: emu-three

No comments :