Hii ni blog maalum kwa kumbukumbu za kimaisha, na matukio yenye mafunzo ndani yake, ndio maana nikaiita 'diary'(shajara). Pia tunakaribisha mijadala yenye kuelimisha

Na kwa kuifanya iweze kuvutia zaidi tunaandika matukio hayo kwa mfumo wa visa, hadithi au tamithilya..

Wewe ukiwa mdau muhimu, unaweza kuchangia na wenzako kwa kutoa hoja (comments). Pia unaweza kutoa maneno ya hekima, utaalamu, au dukuduku lako (kilio chako)kwa jamii ili kuweza kukidhi mahitajio yetu.

MUHIMI, SOMA , CHANGIA, NA TOA kisa chako, au lolote lenye mafunzo ili tuliweke hewani.

TUPO PAMOJA DAIMA


Tushirikiane, Tusaidiane, Tupendane, Tuvumiliane, Tusaidiane, Tusameheane.

Kwa visa motomoto tunapatikana pia kwenye mitandao ya kijamii ya: Facebook, na Twitter, bofya hapa upate visa zaidi;

https://www.facebook.com/emu.three, na kwa ajili ya kuitangaza hii blog, ingia hapa:

https://www.facebook.com/diaryyangu/

`u-like' na pia unaweza kutwitter hapa;

https://twitter.com/emuthree



Wednesday, January 22, 2014

Mkuki ni kwa Nguruwe-65-mwisho




‘Sasa ni ajenda ya mwisho, ajenda ya kusikia kauli na maamuzi ya wanandoa ambao ndio waliotuweka hapa, kwa namna nyingine tunaweza kuiita ajenda hii kuwa ni ajenda ya hukumu ....na hapa mimi sitaingilia sana, maana wanandoa waliosababisha hiki kikao wapo hapa, na walishapata muda wa kukaa pamoja na kulijadili kwa mapana.....’akasema mwenyekiti.
‘Japokuwa nilisikia kuwa bado hakujakuwa na maafikiano, lakini kwa vile tupo kwenye kikao cha wengi, na penye wengi hapaharibiki neno, natumai tutalimaliza hili swala kwa amani na upendo, ikishindikana mimi mwenyekiti nipo, itanibidi nitumie rungu langu la uenyekiti...kulimaliza hili tatizo,...

Tuendelee na hitimisho la kisa hiki...........


3 comments :

Liz said...

STORY NZURI SANA NA MKE WA FAMILIA KATOA UAMUZI MZURI. TUNASUBIRIA STORY NYINGINE KWA HAMU, MUNGU AKUPATIE AFYA NJEMA

Pam said...

nzuri sana though inaumiza sana, ni maisha na tunajifunza kutokana na matukio kama haya

mama brenda said...

Bravooo