Hii ni blog maalum kwa kumbukumbu za kimaisha, na matukio yenye mafunzo ndani yake, ndio maana nikaiita 'diary'(shajara). Pia tunakaribisha mijadala yenye kuelimisha
Na kwa kuifanya iweze kuvutia zaidi tunaandika matukio hayo kwa mfumo wa visa, hadithi au tamithilya..
Wewe ukiwa mdau muhimu, unaweza kuchangia na wenzako kwa kutoa hoja (comments). Pia unaweza kutoa maneno ya hekima, utaalamu, au dukuduku lako (kilio chako)kwa jamii ili kuweza kukidhi mahitajio yetu.
MUHIMI, SOMA , CHANGIA, NA TOA kisa chako, au lolote lenye mafunzo ili tuliweke hewani.
TUPO PAMOJA DAIMA
Kwa visa motomoto tunapatikana pia kwenye mitandao ya kijamii ya: Facebook, na Twitter, bofya hapa upate visa zaidi;
https://www.facebook.com/emu.three, na kwa ajili ya kuitangaza hii blog, ingia hapa:
https://www.facebook.com/diaryyangu/
`u-like' na pia unaweza kutwitter hapa;
Thursday, August 13, 2009
Tusaidie wenye ulemavu
NGO, nyingi zinaanzishwa lakini ni chache zinazopenya vijijini. Ombi langu kwa wenye uwezo wasaidie kuanzishwa shule kama hizi vijijini kwani kati ya hawa wapo wenye vipaji vikubwa, wataalamu na viongozi wa baadaye. Inabidi na wamanchi waelimishwe kuwa kuwa kilema sio mkosi, bali ni sehemu ya maumbile tu ya kibinadamu.
No comments :
Post a Comment