Hii ni blog maalum kwa kumbukumbu za kimaisha, na matukio yenye mafunzo ndani yake, ndio maana nikaiita 'diary'(shajara). Pia tunakaribisha mijadala yenye kuelimisha

Na kwa kuifanya iweze kuvutia zaidi tunaandika matukio hayo kwa mfumo wa visa, hadithi au tamithilya..

Wewe ukiwa mdau muhimu, unaweza kuchangia na wenzako kwa kutoa hoja (comments). Pia unaweza kutoa maneno ya hekima, utaalamu, au dukuduku lako (kilio chako)kwa jamii ili kuweza kukidhi mahitajio yetu.

MUHIMI, SOMA , CHANGIA, NA TOA kisa chako, au lolote lenye mafunzo ili tuliweke hewani.

TUPO PAMOJA DAIMA


Tushirikiane, Tusaidiane, Tupendane, Tuvumiliane, Tusaidiane, Tusameheane.

Kwa visa motomoto tunapatikana pia kwenye mitandao ya kijamii ya: Facebook, na Twitter, bofya hapa upate visa zaidi;

https://www.facebook.com/emu.three, na kwa ajili ya kuitangaza hii blog, ingia hapa:

https://www.facebook.com/diaryyangu/

`u-like' na pia unaweza kutwitter hapa;

https://twitter.com/emuthree



Friday, November 1, 2013

Mkuki ni kwa Nguruwe-20





WAZO LA LEO: Dunia nzima, inaingia kwenye matatizo kwasababu kubwa ya mali na masilahi,. Watu wanakosana, kunakuwa na vita, migongano makazini, familia hazipatani, ukichunguza sana ni kwasababu ya mali na masilahi.Ubinadamu, utu, udugu, unasaba, ndoa vyote hivyo vinaharibika, na kuingia kwenye matatizo kwasababu ya mali, na masilahi. 

Tukumbuke kuwa vyote hivyo, mali na masilahi ni vitu vya kupita tu...vilikuwepo, na vitaendelea kuwepo, wewe kama binadamu mali na masilahi yako ni matendo yako mema.Matendo yako mema ndio mali na masilahi yako, itakayoweza kukusaidia hata baada ya kufa..

Ni mimi: emu-three

1 comment :

Pam said...

M3
kama utaweza hata weekend uwe unaendeleza story cyo hii hata zijazo
hii ya mkuki imefikia patamu na pa hatari MASLAHI