Diary Yangu

Tuesday, May 27, 2025

NIANZAJE

›
Mambo ya kuandika yapo mengi, visa vipo vingi na matukio halikadhalika, lakini nashindwa nianzaje...Nianzeje, najiuliza Wakati nawaza hivyo,...
Saturday, November 23, 2024

›
Dunia hii ..... Wiki sasa nimekuwa nikimkuta kijana wa miaka 20 au 22 hivi, akiwa amelala pembeni mwa majengo ya maduka eneo la posta, ni ki...
Wednesday, November 8, 2023

HURUMA INAYOUMA-Utangulizi

›
'Docta, huyu sio mtoto wangu, ….’akasema mdada. ‘Sio mtoto wako…! ' Akasema docta kwa mshangao, na mdada akawa kimia 'Kama sio...
1 comment:
Friday, September 22, 2023

TUSAIDIE TUPATE BARAKA

›
Nikiwa nimekaa ndani ya gari la daladala, macho yangu yalivutiwa na abiria wanaogombea kuingia ndani ya dala dala hilo.  Abiria wanaotaka ku...
Friday, September 8, 2023

NI KIPI KIPYA NIJIFUNZE...

›
KIPI KIPYA! Niandike nini ambacho hakijawahi kuandikwa, niseme nini ambacho hakijawahi kusemwa, nione kitu gani kipya ambacho hakijawahi kuo...
›
Home
View web version
Powered by Blogger.