KIPI KIPYA!
Niandike nini ambacho hakijawahi kuandikwa, niseme nini ambacho hakijawahi kusemwa, nione kitu gani kipya ambacho hakijawahi kuonwa, nisikie nini kipya ambacho hakijawahi kusikiwa....nahisi kila kitu kina msingi, ...na sie ni waendelezaji tu, labda, taaluma na mitandao ambayo inakuwa kila siku , lakini hata yenyewe ina asili yake!
No comments:
Post a Comment
Changia hoja kwa kutoa maoni yako hapa: Au tuma kwa e-mail> miram3.com@gmail.com