Maisha yana changamoto zake, lakini sio kila maisha ya mtu mwingine yatakuwa sawa na ya mwingine...kila mtu ana hamsini zake, kwahiti tuishi tukijitahidi tukiomba na tukiwa na msimamo huo.
Tamaa mbaya tuache, wivu, husuda...haya ni maradhi, ...hizi ndio sumu zinazotuharibia hatima yetu
Natamani sana kuandika kisa cha hatima.....hatima....
No comments:
Post a Comment
Changia hoja kwa kutoa maoni yako hapa: Au tuma kwa e-mail> miram3.com@gmail.com