Wednesday, January 2, 2013

Mtandao Mpya wa kijamii wa mijadala na hoja








Filosofa Forum Imevutia Wengi
Discussion forum mpya – Filosofa Forum ni jukwaa jipya la malumbano ya hoja. Tangu kuanzishwa rasmi siku chache zilizopita kumekuwa na mlolongo wa wapenda hoja kujiunga na kuchangia hoja mbalimbali,

Fika ujionee mwenyewe ndani ya jukwaa hili lenye hoja ,na mijadala ya maana, kwa kubofya hapa:  http://filosofaforum.com/




Malengo ya timu inayoendesha jukwaa hili ni kuhakikisha inampa kila mtu nafasi ya kutoa mawazo, kuuliza maswali, kuchangia hoja, n.k, bila kujali jinsia, maumbile, uwezo, cheo, kabila, itikadi au dini. Jukwaa hili limeundwa kwa kuzingatia maadili ya mtanzania. Maneno ya matusi yananaswa (detected automatically). Ni rahisi kujiunga au kuchangia hoja. Huhitaji ujuzi wa kompyuta wa hali ya juu sana kutumia. Karibu ujiunge uelimike na kuelimisha wengine.


Diary yangu inawakilisha na kusema :TUPO PAMOJA
Ni mimi: emu-three

1 comment:

  1. La verdad es que lo que has publicado me ha sido interesante.
    Si bien tendría que decir que ciertos post diferente no me pareció tan
    bueno, el de esta vez me ha gustado realmente.
    Saludos y gracias
    Take a look at my blog post - Eva

    ReplyDelete

Changia hoja kwa kutoa maoni yako hapa: Au tuma kwa e-mail> miram3.com@gmail.com