Hii ni blog maalum kwa kumbukumbu za kimaisha, na matukio yenye mafunzo ndani yake, ndio maana nikaiita 'diary'(shajara). Pia tunakaribisha mijadala yenye kuelimisha

Na kwa kuifanya iweze kuvutia zaidi tunaandika matukio hayo kwa mfumo wa visa, hadithi au tamithilya..

Wewe ukiwa mdau muhimu, unaweza kuchangia na wenzako kwa kutoa hoja (comments). Pia unaweza kutoa maneno ya hekima, utaalamu, au dukuduku lako (kilio chako)kwa jamii ili kuweza kukidhi mahitajio yetu.

MUHIMI, SOMA , CHANGIA, NA TOA kisa chako, au lolote lenye mafunzo ili tuliweke hewani.

TUPO PAMOJA DAIMA


Tushirikiane, Tusaidiane, Tupendane, Tuvumiliane, Tusaidiane, Tusameheane.

Kwa visa motomoto tunapatikana pia kwenye mitandao ya kijamii ya: Facebook, na Twitter, bofya hapa upate visa zaidi;

https://www.facebook.com/emu.three, na kwa ajili ya kuitangaza hii blog, ingia hapa:

https://www.facebook.com/diaryyangu/

`u-like' na pia unaweza kutwitter hapa;

https://twitter.com/emuthree



Wednesday, January 15, 2014

Mkuki ni kwa Nguruwe-62





Kikao cha hitimisho hakikufanyika siku ya pili kama ilivyopangwa, kwani siku ile ya hicho kikao cha mwanzo tulipomaliza tu,polisi walifika kabla watu hawajatawanyika, na kuwakamata mume wa familia, mpenzi wake wa asili, na mdogo wa mume wangu ambaye walishamkamta mapema. Polisi walisema sababu za kukamatwa kwao ni kuisaidia poilisi kutokana na kifo cha Makabrasha.


WAZO LA LEO:Asili ya jamii, ni kutoka kwa wanandoa, ndio maana tunaona ni muhimu kwa yule anayetaka kuoa au kuolewa kumtafuta mwenza mwema. Wanandoa hawa ndio watakaopata watoto, na kama ni mume mwema na mke mwema, basi watajua umuhimu wa malezi kwa watoto, watoto ambao wanakuja kuwekeza kwenye jamii. Ni muhimu sana, kwa wazazi na serikali, kuwaangalia watoto kwa macho mawili, hawa ndio chanzo cha amani au vurugu.
Ni mimi: emu-three

No comments :