Hii ni blog maalum kwa kumbukumbu za kimaisha, na matukio yenye mafunzo ndani yake, ndio maana nikaiita 'diary'(shajara). Pia tunakaribisha mijadala yenye kuelimisha

Na kwa kuifanya iweze kuvutia zaidi tunaandika matukio hayo kwa mfumo wa visa, hadithi au tamithilya..

Wewe ukiwa mdau muhimu, unaweza kuchangia na wenzako kwa kutoa hoja (comments). Pia unaweza kutoa maneno ya hekima, utaalamu, au dukuduku lako (kilio chako)kwa jamii ili kuweza kukidhi mahitajio yetu.

MUHIMI, SOMA , CHANGIA, NA TOA kisa chako, au lolote lenye mafunzo ili tuliweke hewani.

TUPO PAMOJA DAIMA


Tushirikiane, Tusaidiane, Tupendane, Tuvumiliane, Tusaidiane, Tusameheane.

Kwa visa motomoto tunapatikana pia kwenye mitandao ya kijamii ya: Facebook, na Twitter, bofya hapa upate visa zaidi;

https://www.facebook.com/emu.three, na kwa ajili ya kuitangaza hii blog, ingia hapa:

https://www.facebook.com/diaryyangu/

`u-like' na pia unaweza kutwitter hapa;

https://twitter.com/emuthree



Thursday, December 12, 2013

Mkuki ni kwa Nguruwe-46




WAZO LA  LEO: Ukweli utabakia kuwa ukweli, huwezi ukahalalisha ukweli kwa kusema uwongo , kwa ajili ya kumsaidia mtu, hata kama ni mtu wako wa karibu, ukisema uwongo, ukaukana ukweli, basi unavunja uaminifu wako, tujifunze kuwa wa kweli popote pale, ili tuwe waaminifu.

Ni mimi: emu-three


1 comment :

Pam said...

huruma huponza wanawake walio wengi na kusahau kutenda yanayostahili hata kama wanaumizwa na uhusiano uliopo ili kulinda mwonekano mbele ya jamii na mwisho huwa kupata kilema au kuuwawa..