Hii ni blog maalum kwa kumbukumbu za kimaisha, na matukio yenye mafunzo ndani yake, ndio maana nikaiita 'diary'(shajara). Pia tunakaribisha mijadala yenye kuelimisha

Na kwa kuifanya iweze kuvutia zaidi tunaandika matukio hayo kwa mfumo wa visa, hadithi au tamithilya..

Wewe ukiwa mdau muhimu, unaweza kuchangia na wenzako kwa kutoa hoja (comments). Pia unaweza kutoa maneno ya hekima, utaalamu, au dukuduku lako (kilio chako)kwa jamii ili kuweza kukidhi mahitajio yetu.

MUHIMI, SOMA , CHANGIA, NA TOA kisa chako, au lolote lenye mafunzo ili tuliweke hewani.

TUPO PAMOJA DAIMA


Tushirikiane, Tusaidiane, Tupendane, Tuvumiliane, Tusaidiane, Tusameheane.

Kwa visa motomoto tunapatikana pia kwenye mitandao ya kijamii ya: Facebook, na Twitter, bofya hapa upate visa zaidi;

https://www.facebook.com/emu.three, na kwa ajili ya kuitangaza hii blog, ingia hapa:

https://www.facebook.com/diaryyangu/

`u-like' na pia unaweza kutwitter hapa;

https://twitter.com/emuthree



Wednesday, December 4, 2013

Mkuki ni kwa Nguruwe-40





WAZO LA LEO:Kuna malalamiko kuwa wanandoa wengi hawajui ni nini maana ya ndoa, wanaingia kwenye ndoa kama fasheni tu, kwa vile inatakiwa iwe hivyo. Ni muhimu kama mzazi, ni muhimu kwa viongozi wa dini kuliangalia hili kwa mapana, hapa ndio chimbuko la kizazi, na kizazi bora hujenga jamii bora, yenye amani na upendo


Kwanini kabla ya ndoa, hawa watu wasipate shule ya ndoa, na hata ikibidi kuwe na shule kama hizi, ili kuziokoa ndoa nyingi zinazharibika,ili kuijenga jamii yanye upendo na amani ..wanandoa wengi wanaishi kwa taabu, kumbe tatizo ni dogo tu, elimu ya ndoa hakuna...ni ombi tu.


Ni mimi: emu-three

No comments :