Hii ni blog maalum kwa kumbukumbu za kimaisha, na matukio yenye mafunzo ndani yake, ndio maana nikaiita 'diary'(shajara). Pia tunakaribisha mijadala yenye kuelimisha

Na kwa kuifanya iweze kuvutia zaidi tunaandika matukio hayo kwa mfumo wa visa, hadithi au tamithilya..

Wewe ukiwa mdau muhimu, unaweza kuchangia na wenzako kwa kutoa hoja (comments). Pia unaweza kutoa maneno ya hekima, utaalamu, au dukuduku lako (kilio chako)kwa jamii ili kuweza kukidhi mahitajio yetu.

MUHIMI, SOMA , CHANGIA, NA TOA kisa chako, au lolote lenye mafunzo ili tuliweke hewani.

TUPO PAMOJA DAIMA


Tushirikiane, Tusaidiane, Tupendane, Tuvumiliane, Tusaidiane, Tusameheane.

Kwa visa motomoto tunapatikana pia kwenye mitandao ya kijamii ya: Facebook, na Twitter, bofya hapa upate visa zaidi;

https://www.facebook.com/emu.three, na kwa ajili ya kuitangaza hii blog, ingia hapa:

https://www.facebook.com/diaryyangu/

`u-like' na pia unaweza kutwitter hapa;

https://twitter.com/emuthree



Thursday, October 31, 2013

Mkuki ni kw Nguruwe-19


‘Tutakuja kuongea hayo siku nyingine....kunjua huo uso wako please’akasema rafiki wa mume wangu

Tuendelee na kisa chetu....

WAZO LA LEO: Kama tutakuwa na taratibu za mikataba kwenye ndoa zetu, kwenye familia zetu, kwenye vikundi vyetu, kwenye maisha yetu,kwenye sehemu zetu za kazi, nk, tungeliepuka migongano na mfarakano, maana mambo mengi yangelitatuliwa kisheria. Familia nyingi zinajikuta kwenye matatizo,pale anapofariki mmojawapo, au pale kunapotokea tatizo, na kutokuelewana. Na mwisho wa mifarakano hiyo, au matatizo hayo, wahanga wa haya yote ni watoto na akina mama, ambao wanakuja kudhulumiwa haki zao. Je hatuoni kuwa ili kukwepa hayo yote, ni bora kukawa na mikataba katika maisha yetu? Tuliwazie hili na wanasheria watusaidie...

Ni mimi: emu-three.

4 comments :

Unknown said...

Mmmh, mambo yanazidi kuwa magumu cjui itakuwaje hebu tusonge nayo,

Unknown said...

Haya tena ngoja tusubiri itakavyokuwa, MN mmh!

Anonymous said...

best make-up for accutane users [url=http://fast-isotretinoin.com]Buy Accutane[/url] ipledge accutanecialis 40 mg safe [url=http://fast-tadalafil.com]Cialis[/url] buy viagra professional onlinecheap generic viagra 50mg [url=http://sildenafilusshop.com]Viagra[/url] viagra other medical usespropecia length of prescription [url=http://healthcarerxusa.com]Buy Propecia Online[/url] reputable foreign pharmacy finasteridelevitra with no prescription [url=http://fastshiplevitra.com]Levitra[/url] levitra online in australia

Anonymous said...

mexican cialis online [url=http://fastshipcialis.com]Buy Cialis[/url] cialis testimonialsclomid 5 day text [url=http://usfastmed.com]Clomid[/url] clomid no prescription fed ex shippinggeneric viagra at walgreens [url=http://fast-sildenafil.com]Viagra[/url] viagra labelsside effects of going off accutane [url=http://fast-isotretinoin.com]Accutane[/url] accutane and periodslevitra success rate [url=http://fastshiplevitra.com]Buy Levitra Online[/url] levitra grapefruit