Nilihisi kuwa karibu na wenzangu ambao nao walikuwa katika hali kama yangu. Kwa mpangilio ule tulikuwa tukipangwa makundi ya watu kadhaa, wakiisha yanaletwa mengine, na kundi lililopo sasa lilikuwa kundi langu. Niliwaza jinsi ya kujinasua, lakini kila nilivyowaza nilijikuta nikikabiliwa na vikwazo, na ili kwenda kuchomoa moja ya mnyororoniliyofungwa nayo ilibidi niwavuke wenzangu waliopangwa karibu nami, na hawakubali uwavuke kwasababu ukiwavuka zamu yao itakuwa karibu na hata nikiwavuka kwa mbele kulionekana vitu kama ukuta wenye seng’enge zilizotegeshwa umeme, na kuwekwa vibao vyenye maneno fulani.
Seng’enge ya ukuta wa kwanza iliandikwa ngawila, nilihisi kuwa pale palihitajika pesa, ili upite, na si pesa ndogo, na hata kama ni ndogo inategemea uwezo wako wa kuzipata, sijui ilihitajika kiasi gani lakini niliona sifuri nyingi tu. Nikagwaya nakujiuliza ina maana wote waliokuwa wahanga wa lile bisu hawakuwa na hizo pesa. Labda kikwazo cha ukuta wa pili
12 comments :
Hii inatisha kama ingekuwa mimi, ningeacha kabisa kulala
Good
Ilikuwa ya kutisha sana
Haha
Fupi mno
Je inaishia hapo
Ukweli
Whoever wrote this insha he/her has a talent
Waa is that really true hongera Kwa ko
Good
Good ππππππππ―πΈπ΄πππ€π¨π¦πΈπ΄✍️π¬π§ππ₯π₯π§π️
Anonymous i am happy π thank you π for your service sir
Post a Comment