Hii ni blog maalum kwa kumbukumbu za kimaisha, na matukio yenye mafunzo ndani yake, ndio maana nikaiita 'diary'(shajara). Pia tunakaribisha mijadala yenye kuelimisha

Na kwa kuifanya iweze kuvutia zaidi tunaandika matukio hayo kwa mfumo wa visa, hadithi au tamithilya..

Wewe ukiwa mdau muhimu, unaweza kuchangia na wenzako kwa kutoa hoja (comments). Pia unaweza kutoa maneno ya hekima, utaalamu, au dukuduku lako (kilio chako)kwa jamii ili kuweza kukidhi mahitajio yetu.

MUHIMI, SOMA , CHANGIA, NA TOA kisa chako, au lolote lenye mafunzo ili tuliweke hewani.

TUPO PAMOJA DAIMA


Tushirikiane, Tusaidiane, Tupendane, Tuvumiliane, Tusaidiane, Tusameheane.

Kwa visa motomoto tunapatikana pia kwenye mitandao ya kijamii ya: Facebook, na Twitter, bofya hapa upate visa zaidi;

https://www.facebook.com/emu.three, na kwa ajili ya kuitangaza hii blog, ingia hapa:

https://www.facebook.com/diaryyangu/

`u-like' na pia unaweza kutwitter hapa;

https://twitter.com/emuthree



Thursday, February 25, 2010

Mama wa kambo-2

                                Na kisa cha Msamaria mwema                
 Ili uelewe vyema soma sehemu ya kwanza, halafu endelea:-
Wakati natafakari kisa cha msamaria mwema, huyu mama aliyekuja kwangu usiku kuomba hifadhi alikuwa akituhadithia maisha yake na hawa watoto waliomfukuza. Yeye alipoolewa alikaa muda mrefu bila kupata mtoto, baadaye ikadhihiri kuwa ni mgumba kwahiyo mume wake aka-ona aoe mke wa pili. Mke wa pili akabahatika kuzaa watoto watatu, mmojawapo ni huyu wa kike aliyeolewa na kuja kuishi jirani nasisi. Mume wa wao alifariki mapema, lakini kipindi watoto wameshakuwa wakubwa, na wanajitegemea, baadaye Mama wa hawa watoto naye akafiriki. Kwahiyo familia hiyo ikabaki na mama huyu wa kambo.

Siunajua tena mambo ya uke wenza kuna chuki zilijijenga kuwa huyu mama wa kambo amehusika katika kufariki kwa mumewe na baadaye pia akasababisha kufariki kwa mama wa hawa watoto! Zilikuwa hisia, sisizo na ushaihidi wowote. Chuki hizo zilianza kwa mke mwenza , zikaja kupandikizwa kwa watoto. Watoto wakawa wanamchukia mama yao wa kambo, kiasi kwamba hata akipika chakula watoto hawa wanasusa kula. Haya ni kwa mujibu wa huyu mama.

Huyu jirani yetu, yaani binti wa mama huyu aliyetugongea usiku alikuwa mja mzito na baadaye akajifungua , na mumewe akamshauri mkewe wamchukue mama yao wa kambo aje awasadie katika huduma za ulezi. Mara nyingi katika mila za kiafrika, mama huchukuliwa kuwasaidia watoto wao wanapojifungua hasa katika mimba za mwanzo. Hii husaidia katika kuelekezana, na kumkanda mama aliyejifungua. Mke akakubali ingawaje ile hali ya kutompenda huyo mama ilikuwa bado kwenye damu.

Tatizo la mama yao wa kambo alikuwa mnywaji wa pombe , hatujui ni kwasababu ya hali halisi ya kimaisha, kuwa yeye ni mgumba au ni kutokana na mkandamizo wa kunyanyaswa au ndio kawaida ya kabila lao, ambalo pombe kwao ni kama chai. Hali hii ya kunywa ilikuwa haiwapendezi watoto, na popote alipokuwa akienda kuishi, kulikuwa na kutokuelewana kati ya mama huyu na watoto, naye kama mtu mzima hakupenda kupangiwa maisha , na matokeo yake ni kufukuzwa. Lakini yeye hakukata tama, akijua kuwa hawo ni wanae tu. Hii ni kutokana na maelezo niliyopata kutoka kwa huyu mama na mtoto huyo wa kike aliyemfukuza mama huyo.

Nilipomuuliza huyo mama kuhusu mambo ya ulevi alikataa akasema hilo sio tatizo kwao kwani wote wanakunywa, wao wanamfukuza kwasababu ya chuki zilizojijenga kabla na kwa vila hana watoto wanamsakama kila anapokwenda kuwasalimia. Na hata hivyo, yeye kuja kwake hapa Dar, hakupenda ila wao ndio waliomuita inakuwaje sasa wamfukuze na kumzalilisha kiasi hiki, je kama ingekuwa mama yao aliyewazaa wangemfanyia hivyo, au ni kwasababu yeye hana watoto…

Huyu mama alipokuwa akituhadithia hii habari ya maisha yake wote tulijawa na majonzi. Kumbe ni kwasababu yeye hakuwahi kuza, kumbe ni kwasababu ya visa vya uke wenza ndio vimejenga hii chuki. Tukajiuliza mara mbili, tatu je tumwamini nani; huyu mama au mtoto wake ambaye amekataa kata kata kumuhifadhi mama yake?

‘Kwanza muulizeni usiku wote huu ametoka wapi, si ametoka kulewa, hamsikii harufu ya pombe? Na ni vyema akarudi huko alikotoka, nahisi alikwenda kwa dada yangu akafukuzwa kwa kulewa kwake, hii ndio tabia yake, hata huko nyumbani’ alisema mtoto wa huyu mama. Lakini mama huyo alijitetea kuwa ndio alitoka kwa mtoto wao huyo mwingine lakini hakufukuzwa huko, yeye alikuja hapo kwa nia ya kuchukua baadhi ya nguo zake, na usafiri ulikuwa wa shida ndio maana akafika hapo akiwa amechelewa.’

‘Mimi simlazi hapa kwangu , nyie mfukuzeni atajua wapi pa kulala, na mtajua wenyewe lakumfanya, sisi hatuhusiki’ akasema yule mtoto wa kike wa Yule mama.

Kauli hii ilinishitua kidogo, ina maana tutawajibika kama litatokea la kutokea, nikaogopa kama nitaamua kuwa msamaria mwema huenda yakawa yale ya hiki kisa nitakachoendelea kukuhadithia na huenda nikifanya usamaria wema mwisho wa siku nitaingia matatani. Je nimuhifadhi au nichukue hatua gani, nikajiuliza huku nikikikumbuka hiki kisa cha msamaria mwema:

Yule mume-mtu kwenye kisa chetu cha msamaria mwema alipoona watu wkadhaa wapo kwa rafiki yake akaamua aulizie kumetokea nini. Wale watu, wasiopitwa na kitu wakamwambia kuwa wao wamesikia kuwa kuna mtu kahifadhiwa humo, lakini chumba hakifunguki, na inavyoonyesha mhifadhiwa kalewa sana au anaumwa au vinginevyo kakata roho, huwezi jua, ndio maana mjumbe kaitwa ili atoe ushauri, kwani chumba kimefungwa kwa ndani, si msala huo…!

‘Hawa watu bwana sasa inakuwaje wamuhifadhi mtu hivihivi tu, kama ni jambazi je, au hata kama sio jambazi , anaweza akawa na ugonjwa, akifa si tatizo hilo?. Kama ni ndugu yangu au wako kafanyiwa hivyo, utasahau usamaria wema na kuangalia janga lilitokea, na unafikiri kutaeleweka kitu hapo. Lakini kwa vile ni rafiki yangu ngoja nikamsaidie kwa mawazo wasije wakamfunga rafiki yangu bure kwa usamaria wema wake’ Yule mume mtu akasema huku akigonga mlango.

Kule ndani walikuwa katika harakati za ku-ufungua ule mlango kwa kutoa kitasa cha mlango, ilibidi fundi aitwe ili mlango ubomolewe kitaalamu kuliko kuvunjwa. Na wakiwa katika pilikapilika hizo za kuuvunja ule mlango , mara wakasikia sauti ya huyu mume-mtu akiongea huko nje, na hapo wasiwasi ukawatinga mama na baba msamaria wema. Uwoga ukawatanda, wakatamani wasimkaribishe huyo rafiki yao, lakini kwa kigezo gani, na je huenda ameshajua kuwa mkewe ndiye aliyepo humo ndani, sasa wafanyeje ikabidi wamuite mjumbe pembeni ili atoe ushauri.

Tukutane baadaye

-Je mjumbe alitoa ushauri gani? From miram3

12 comments :

Anonymous said...

Jamaa bwana kamfukuza mkewe, halafu anajifanya kutokujua, acha umambokale, siku hizi hakuna kupigana, mkishindana mnawekana sawa

Anonymous said...

cialis 5mg works it is currently
[url=http://cialisonlinegeneric-us.com]generic cialis usa
[/url] cialis pharmacy
generic cialis usa
- cialis 10 mg 4 tablet who is online
cialis and alcohol consumption login

Anonymous said...

levitra 10 mg effectiveness you cannot delete your posts in this forum
[url=http://genericlevitra-usa.com]buy levitra
[/url] levitra attorney ohio
buy levitra
- levitra for women cancer most users ever online was
levitra vs levitra vs uprima

Anonymous said...

cialis 5mg bangkok mail-order
[url=http://genericcialisonline-usa.com]cialis usa
[/url] cialis for daily use prices website
generic cialis
- cialis advice
cialis for daily use cost group blogs

Anonymous said...

viagra 5mg the team
[url=http://viagraonline-us.com]viagra online[/url] viagra online - viagra and alcohol display posts from previous
[url=http://pharmshop-online.com]generic cialis[/url] generic cialis - canadian pharmacy cialis 20mg the team
[url=http://genericlevitra-usa.com]buy levitra[/url] buy levitra - levitra vs levitra
[url=http://genericviagra-onlineusa.com]viagra no prescription
[/url] generic viagra usa
- viagra 5mg cost faq
[url=http://genericcialisonline-usa.com]generic cialis usa
[/url] buy generic cialis online
- cialis posts per day
[url=http://cialisonlinegeneric-us.com]buy generic cialis
[/url] cialis online
- herbal remedies for ed
purchase of viagra and viagra pills

Anonymous said...

-- how cialis works
- [url=http://pharmshop-online.com]generic cialis[/url] cialis from canada with a prescription topics
generic cialis cialis cvs

Anonymous said...

cialis and alcoholic drinks users browsing this forum
[url=http://viagra-withoutadoctorprescription.com]viagra no prescription
[/url] cialis for the aged
viagra without prescription
- cialis it is currently
generic for cialis

Anonymous said...

cheaapest cialis
[url=http://cialisonlinegeneric-us.com]cialis without a doctor's prescription
[/url] cialis costco who
cialis without a doctor's prescription
- compare viagra, cialis, levitra
shops buy cialis in bangkok

Anonymous said...

cialis heart palpitations
[url=http://genericcialisonline-usa.com]cialis without a doctor prescription[/url] cialis, pharmacology
cialis without a doctor prescription - cialis dosage community
canadian cialis online

Anonymous said...

cialis at age 70
[url=http://cialiswithoutadoctorprescriptions.com]buy cialis without prescription
[/url] cialis spam filter
cialis online no prescription
- cialis 10mg or 20mg sort by
best price cialis

Anonymous said...

cialis drug online prescription soma
[url=http://viagra-withoutadoctorprescription.com]viagra online without prescription
[/url] cialis, cialis, genuine
viagra online no prescription
- took cialis with cialis
site%3apharmacy-deal.com]cialis[

Anonymous said...

which is more effective - daily or 36 hour cialis
[url=http://genericcialisonline-usa.com]cialis without a doctor prescription[/url] cialis from canada cheap last post by
cialis without a doctor prescription - cialis 20mg review who is online
viagra v cialis v levitra